MEETING MY MATCH
(Ubavu wangu 😋)
EP 01
MTUNZI; HUSQER BALTAZAR
(Location; Mumbai, India)
(Ndani ya Kampuni la Ajanta Pharma linalo jishughulisha na usambazaji wa dawa muhimu)
"Kuhusu zawadi niliyo kuahidi nitatimiza kabla ya hii wiki kuisha, nimekuwa bize sana najikuta nasahau hata kwenda haja kubwa" Vedant (CEO wa Kampuni la Ajanta Pharma) aliongea huku akikagua bahasha aliyoletewa.
Baada ya kugundua ni picha ya Mwanamke aliishiwa pozi
"Huyo Mwanamke ni Mwana mitindo maarufu Jijini Newyork ..naomba uitazame picha yake ukiwa umeshiba, hakikisha unavaa miwani yako pia. Kitu kingine iangalie ukiwa pekee yako....nahofia huenda ukafika kileleni bila kupush ni mrembo sana" Manuu (Shangazi yake Vedant) aliongea huku akijichekesha, hakutaka kusikia neno lingine kutoka kwa Vedant aliondoka
Secretary Aaron aliingia akiwa kabeba files, ni mmbeya hatari baada ya kuona tu bahasha mezani alijua ina picha ya Mwanamke
"Usijali kuhusu hii bahasha nitakusaidia....." Secretary Aaron aliongea huku akijipa mamlaka, kabla hajaitazama Vedant alimkwapua bahasha
"Kuliko uhangaike na vitu visivyo kuhusu ni heri ufunge zipu ya suruali yako. Tangu juzi haufungi zipu usiniambie hao Wafanyakazi wapya waliotoka China wanakutesa moyo wako"
"Si...si..siyo hivyo..." Aaron aliongea kisha akaondoka kwa aibu, kuna namna aliguswa penyewe
Vedant hakuwa na haraka ya kufungua bahasha, aliendelea kutimiza majukumu yake.
"Vipi umevutiwa naye?" Ujumbe kutoka kwa Shangazi yake uliingia kwenye simu yake.
Kabla hajatoa jibu alishika bahasha, alijikuta akikodoa macho baada ya kukutana na sura ya Mwanamitindo maarufu kutoka Newyork akiwa mtupu.
Ni kama alikuwa anatazama XXX video hivi.
Bila uoga wowote wala aibu alishika simu yake akampigia Shangazi yake
"Ni mrembo lakini kuna vitu havipo sawa"
"Vitu gani hivyo"
"Matiti yake ni makubwa sana, napenda Mwanamke mwenye matiti ya saizi ya kati tu...ana hips kubwa sana, makalio yake ni makubwa pia. Napendelea Mwanamke asiye na makalio makubwa wala hips kubwa. Kitu kingine umbile lake halina mnofu. Nyama za hips zake zingekuwa kwenye umbile lake ningefurahi zaidi. Kitu kingine macho yake yamejaa aibu..."
"Vedant, kwanini kila Mwanamke naye kuletea unakataa, huyu mrembo alikuwa anakufaa sana sitaki ku...." Kabla Shangazi hajamaliza kuzungumza simu ilikatwa
Vedant alichukua kiberiti akaiteketeza picha.
Masaa ya kazi yalipoisha aliondoka akiwa na Secretary Aaron
"Hawa Wanawake wa Kichina ulioleta safari hawajui kutabasamu, kila napowaonesha tabasamu wanakaza sura zao. Hakika zivutiwi nao kwanini usiajiri watu wengine" Aaron aliongea huku akiendesha gari
"Tafuta Malaya huko nje upunguze nyege zako!....wana mionekano kama Wanaume nashindwa kuelewa kwanini unakaa zipu wazi. Hizo ni nyege na si kingine" Vedant aliongea
"Unaelekea wapi" Aaron aliongea kwa kupandisha sauti kidogo, ni wazi hakufurahishwa na mtazamo wa CEO
"Napita Super market kwanza....nataka nimalizane na Shangazi kuhusu zawadi yake"
Aaron aliondoa gari kwa kasi kana kwamba kabeba mgonjwa mahututi.
Bahati mbaya sasa tairi la gari lilitia kwenye tope. Kila Aaron alipojaribu kuondoa gari ilishindikana.
Iliwalazimu washuke kwenye gari kwanza, Vedant ni Mtaalamu mzuri sana katika swala zima la kutoa la lawama
"Jeeez! Mwanaume kabisa analalamika namna hii anasahau kama kuna kitu kinaitwa ajali!, hizi ni nyege na si kingine" Aaron alijikuta akiongea kwa sauti iliyopenya vyema masikioni kwa Vedant
"Wee nguruwe ni kitu gani hicho umeongea!"
Kabla Vedant hajamkata mtama Aaron mwokozi alitokea.
Walishtukia tu gari linasukumwa, walijikuta wakimtazama binti Mmoja aliyekaa kama wa kiume hivi bila kummaliza.
"Shilingi elfu 20 tu itatosha sihitaji pesa nyingi" Emilia aliongea huku akiachia tabasamu
Vedant na Aaron walitazamana kwa mara nyingine kupata mwendelezo full bonyeza link hii Hapo juu au chini ukasome yote hadi mwisho kwa buku tu…
Itaendelea 💥
MEETING MY MATCH
(Ubavu wangu 😋)
EP 02
MTUNZI;HUSQER BALTAZAR
Baada ya Emilia kuona watu hawa hawachangamki kumpatia pesa yake aliipiga gari teke moja tairi likadidimia tena.
Si mtu wa kutaka kuzungumza aliweka mikono yake mfukoni akaendelea na safari yake.
"Alikuwa anataka tu shilingi elfu 20 usiniambie haukuwa na pesa ya kumpatia,...." Vedant alianza kulalamika utadhani gari ni la Aaron
"Isiwe tabu bhana... ' Aaron aligomba ndani ya moyo wake kisha akawaita Vijana waliokuwa karibu. Aliwapa kibarua cha kulitoa tairi la gari
Ni Vijana wanne wenye misuli yao lakini hawa kufanikiwa.
Mwingine aliachia hadi mishuzi lakini hakufanya chochote.
"Ni kitu gani hiki wanafanya!" Vedant aliongea huku mkono mmoja ukishikiria pua zake
"Kama haoni vile kitu kinacho endelea..." Aaron alilalamika ndani ya moyo wake huku akijikuna kichwa. Balaa la boss wake analijua pindi atakapo anza kulalamika watu watajaa
"Ondokeni hakuna kitu mmefanya" Aaron aliongea huku akiangalia utararibu mwingine
Bahati nzuri Emilia alirudi akiwa kashika zake kifuko cha chips.
"Hello...." Aaron alijitia mwema
"Nipatie elfu 20 niondoe gari lenu hapo..." Emilia aliongea
Aaron hakuwa na namna, alizama mfukoni akatoa noti mbili za elfu kumi. Moyo wake ulikuwa unamuuma hatari, alijipa pole ndani ya moyo wake.
Emilia alitumia mkono mmoja kunyanyua gari.
Watu waliokuwa karibu walimshangaa, Vedant alijikuta akimkagua haraka haraka.
"Hana misuli ya kutisha, ni maajabu gani haya anafanya!" Vedant alijiwazia kichwani mwake
Baada ya Emilia kumaliza kazi yake aliondoka kwa mwendo wake wa kunyata.
"Tuingie kwenye gari, nina uhakika anatumia nguvu za giza" Aaron aliongea akiwa kwenye mshangao
"Siwezi kuingia kwenye hilo gari tena" Vedant aliongea
"Kwanini? hili ni gari lako"
"Umesema atakuwa anatumia nguvu za giza, vipi kama tukipata ajali tukafa!...liache hapo watu wa service watakuja kulichukua na kuanzia leo sliendeshi tena" Vedant aliongea kisha akasimamisha tax, hakuwa na habari tena na Aaron.
"Mbwa koko huyu!..." Aaron alijisemea kisha akashika simu yake, aliwapigia watu wa service waje kulichukua gari
Mida ya usiku Vedant akiwa amelala chumbani kwake alijikuta akikumbuka namna Emilia alivyo nyanyua gari toka kwenye tope kwa kutumia mkono mmoja
"Isije kuwa ni jini....hakuna mtu mwenye nguvu namna hii kwenye hii dunia tena Mwanamke" Vedant alijisemea
Usingizi wake ulikuwa ni wa shida sana, ilitokea kama bahati tu usingizi ukampitia.
Alijikuta akipiga kelele baada ya kumuota Emilia akinywa damu ya mtoto wa mbuzi.
"Kitu gani kimekupata!" Manuu (Shangazi yake) aliuliza huku akimfuta jasho
"Nimeota ndoto ya ajabu sana!" Vedant aliongea akiwa ana tetemeka
"Kuwa na amani, nampigia Guru Dev (kiongozi wa dini ya Kihindu) sasa hivi. Inaonekana kuna mashetani yana kufuatilia" Manuu ndio alizidi kumtisha kabisa Vedant
.
Dakika 40 hazikupita, Guru Dev feki alifika.
"Huna haja ya kuogopa upo sehemu salama" Guru Dev aliongea huku akimshika kichwani Vedant, alijitia kufanya maombi.
Kuna namna Vedant alianza kupata amani kabisa ya moyo.
"Kijana wako anatakiwa kuoa, inaonekana kuna shetani la kike limeanza kumuandama. Kama ataendelea kuwa single hatopata amani ya moyo kila alalapo usiku. Mwisho wa siku atashindwa kutimiza majukumu yake"
"Una uhakika na hiki unachoongea!" Manuu aliuliza akijitia kushangaa
Guru Dev feki alitikisa kichwa chake, alijitia kubariki nyumba zima kwa kumwaga maji ya baraka.
"Siwezi kulala chumbani kwangu naomba tulale wote" Vedant alimshika miguu Shangazi yake baada ya Guru Dev kuondoka
"Nitakufadhili kwa siku ya leo tu ila kesho utalala chumbani kwako....kila kitu kitawezekana siku ya kesho. Tutalifukuza hilo shetani kwa kuleta Mwanamke mahali hapa"
"Una maanisha nini kusema hivyo"
"Kesho ni harusi yako" Manuu aliongea
Vedant alitaka kugoma lakini kila alipo kumbuka maneno ya Guru Dev feki aliingiwa na uoga.
Kwa mara ya kwanza kabisa alilala chumbani kwa Shangazi yake huku taa zikiwa zimewashwa kana kwamba kuna sherehe.
Ilikuwa ni ngumu kwa wote kulala kwa sababu walishazoea kuzima taa.
Upande wa Emilia akiwa chumbani kwake aliwasha mshumaa akaanza kuzikagua pesa alizopatiwa na Secretary Aaron.
Aligonga meza kwa hasira baada ya kugundua ni feki.
Aliutazama mkono wake uliotumika kunyanyua gari.
"Hao mbweha hawana bahati, kwa uhuni walioutenda ama zangu ama zao" Emilia alitangaza vita kisha akazima mshumaa.
Upande wa Secretary Aaron anaachia tabasamu ndani ya moyo wake baada ya kugundua pesa zilizomtoka ni zile feki anazotumiaga kutunisha mfuko wake akiwa ameishiwa.
Saa 12 juu ya alama, Manuu (Shangazi yake Vedant) alipiga simu katika familia moja maarufu hapa Jijini Mumbai walete mke.
Kufumba na kufumbua nyumba yote ilipambwa na kupambika.
Watu wachache tu ndio walialikwa akiwemo Secretary Aaron.
Vedant alijitazama kwenye kioo akiwa kavalia mavazi ya harusi. Hakuamini kama siku ya leo anaoa.
"Naomba kabla ya yote kutendeka nimuone huyo Mwanamke anayetakiwa kuwa mke wangu" Vedant alimuambia Shangazi yake.
Manuu aliachia tabasamu kumaanisha hakuna matata
Itaendelea 💥
MEETING MY MATCH
(Ubavu wangu😋)
EP 03
MTUNZI;HUSQER BALTAZAR
Vedant anafanikiwa kumuona mkewe mtarajiwa. Hakuridhika naye hata kidogo ila kwa kuwa yuko hapa kumlinda asifuate na shetani la kike aliridhia.
Hakuna hata mmoja aliyeamini kama Vedant anaoa.
Taratibu zilianza kufanyika, Guru Dev wa ukweli alianza kufungisha ndoa.
Kila Vedant alipomtazama Mwanamke huyu alianza kuona kasoro
"Makalio yake ni makubwa sana....kama ataridhika na ndoa hii huenda akawa na hips kubwa zaidi ya hizo. Sipo tayari na hii ndoa.....kama ni shetani la kike basi nitalifukuza na mfupa wa nguruwe" Vedant alijisemea kisha akatupa taji alilovaa shingoni
Watu wote hawakuamini baada ya kumshuhudia akiondoka
"Sa... samahani tunarudi" Manuu (Shangazi) alijifariji kisha akamfuatilia Vedant
"Wee kichaa ni kitu gani hicho unanifanyia!....nadhani ulimsikia vizuri Guru Dev kwanini unakuwa jeuri"
"Mwanamke uliyemleta hana vigezo navyotaka"
"Leta huyo Mwanamke unayemtaka ndoa iendelee...."
"Bado sijampata!.... naomba uniache kama ni fidia nitatoa kwa hiyo familia" Vedant aliongea kisha akafunga mlango
Manuu arudi kuomba msamaha kwa familia iliyoleta mke.
Hasira zake zote ziliishia kwa Aaron
"Inaonekana upo kwa Vedant kula na si kumjenga kiakili, hii aibu aliyo ni sababishia siku ya leo inatoka na uzembe wako" Manuu alimsukuma Aaron kama si kujishikiria kwenye nguzo basi angedondoka
"Niletee ngazi huku kwenye dirisha langu nataka kutoka sijisikii kupita mlangoni" Vedant alimtumia ujumbe Aaron
"Shangazi yako kajifungia ndani, fahya kupita mlangoni tu"
"Nikifungua mlango tu atasikia"
Aaron hakuwa na namna zaidi ya kupeleka ngazi.
"Hakika wewe ni ms*nge kwanini umemfanyia hivi Shangazi yako, sitaki kuamini hicho kichwa chako kimejaa vumbi" Aaron aliongea akiwa anaendesha gari
"Siwezi kuoa Mwanamke asiye na vigezo navyotaka, na kwanini umeniita ms*nge!"
"Ni hasira tu, naomba kujua ni vigezo gani hivyo unataka ni kusaidie kutafuta huyo Mwanamke"
"Ukweli kutoka moyoni sijui hivyo vigezo, lakini naamini ipo siku nitakutana naye....."
"Jeeez!.... unaelekea wapi kwanza"
"Naomba ukaniache kwenye Casino la P Square. Nataka niwe pekee yangu utaondoka na gari, hakikisha unaniletea mfupa wa nguruwe nitalala nao chumbani kwangu"
"Sawa...." Aaron alifurahia ndani ya moyo wake baada ya kusikia ataondoka na gari. Kiu ya kuzagaa nalo mtaani ilikuwa ni kubwa.
Vedant anaingia kwenye Casino, aliagiza zake wine akaanza kunywa.
Akili yake ilikuwa mbali sana, alikuwa anawaza kuhusu mafanikio ya Kampuni lake.
"Nina amini Ajanta Pharma itakuwa tishio dunia nzima siku zijazo" Alijiahidi
Emilia akiwa katika Casino hili, aliendelea kukiwakisha kwenye suala zima la kamari.
Meza inapinduliwa baada ya Washikaji kuzingua, hakuna kitu hapendagi kama kufanyiwa uhuni.
Alianza kutembeza makonde, ile anataka kumpiga kaba shingo mfano wa John Cena staili aliachia tabasamu baada ya kumuona Vedant.
Aliachana na Wahuni kisha akamfuata, Vedant alishtukia tu akipokonywa glass ya wine.
Akiwa katika kushangaa noti mbili za shilingi elfu kumi ziliwekwa mezani kibabe zaidI, kupata mqendelezo wote hadi mwisho bonyeza hii link hapo juu au hii hapa chini ukasome yote hadi mwisho…
Itaendelea 💥
MEETING MY MATCH
(Ubavu wangu😋)
EP 04
MTUNZI;HUSQER BALTAZAR
"Mimi si mpenzi wa kamali" Vedant aliongea akihisi huyu kichaa yuko hapa kucheza kamali
Emilia aliachia tabasamu baada ya kuelewa Mwanaume huyu hamkumbuki hata kidogo.
Ilibidi ajitambulishe kwanza
"Ah wewe ndio ulisaidia gari langu...." Vedant aliongea akiiandaa miguu yake kukimbia
Emilia alitikisa kichwa kuashiria ndiyo
"Kwahiyo unataka ni kusaidie nini...."
Kabla Emilia hajaongea, Vedant alitoka mbio....
"Dhulumaji hili halina bahati..." Emilia aliongea akaanza kufukuzia.
Bahati mbaya bhana Vedant alijikwaa akaanguka chini.
Kwa hasira alizokuwa nazo Emilia alijing'ata kidole chake kwanza, kama angezingatia usumbufu aliopatiwa basi angeua kabisa.
"Kwanini unakimbia kabla hata sijazungumza shida yangu' Emilia aliongea akiwa kamkanyaga kifuani na kiatu chake kilicho chakaa
"Kitu gani unataka...." Vedant aliongea akianza kuamini huyu kichaa siyo jini ni hofu yake tu.
"Nilifanya kazi ya kusaidia gari lenu, kwanini mnipatie pesa feki. Kwani Mimi huduma yangu ilikuwa ni feki" Emilia alilalamika huku akimuonesha kabisa
Vedant hakutaka kuongea chochote alizama mfukoni akampatia Emilia shilingi elfu hamsini
"Hii hela yote unanipa Mimi!" Emilia aliuliza akiwa haamini
"Pole kwa kukaa na hasira sababu ya yule Mpuuzi..." Vedant aliongea
Emilia ndio kutoa mguu wake kifuani, alisikia aibu baada ya kuya shuhudia mavi ya ng'ombe yamebakia kwenye shati ya Vedant
"Harufu ya nini hii!...." Vedant alilalamika huku akivua shati lake akalitupa kule
Emilia alijionea kwa macho yake mbavu sita. Mwili wa Mwanaume huyu ulikuwa umejengeka balaa
Vedant alitegemea huyu fala atajificha cha ajabu alisikia
"Wow....ni mara yangu ya kwanza kujionea six part hebu tuhesabu" Emilia aliongea akaanza kuhesabu kwa kuzishika
Vedant aling'ata midomo yake sababu ya hasira
"Laiti kama ungejua bei ya hili shati usinge thubutu kunikanyaga na hicho kiatu chako..."
"Nitalifua, kwa sasa vaa koti langu..." Emilia aliongea kisha akavua, hakuona tabu kubakia na kitopu
Vedant si mtu wa kupenda kusaidiwa, alishika simu yake akampigia Secretary Aaron lakini haikupatikana.
"Fanya haraka kuvaa hilo koti, tusepe watu wakipita hapa watahisi nataka kukubaka au unahisi na magonjwa ya ngozi....sina balaa hilo' Emilia aliongea akitaka kuvua, Vedant alimzuia. Anaamua kuvaa shati kwa sababu hakukuwa na namna nyingine
"Nifuate nyumbani kwetu siyo mbali kutoka hapa" Emilia aliongea kisha akaongoza njia
Vedant alimfuata kwa nyuma, alifika mahali akasimama
"Kwanini wewe ni Mwanajeshi!...tembea tararibu nashindwa kumudu huo mwendo"
"Nawahi jua, kama nikichelewa muda wowote hali ya hewa inaweza kubadilika" Emilia aliongea akiendelea na mwendo wake
Vedant alishikwa na hasira, shati siyo kitu kwake alitega mgongo akashika zake hamsini.
Emilia aliendelea kutembea kama ana fukuzwa hivi. Alifika mahali akasimama baada ya kuhisi hakuna mtu nyuma yake.
"Mbwa huyu laiti kama angejua hilo koti ni la Mama yangu asingekatishwa tamaa na mwendo wangu" Emilia aliongea kisha akamrudia Vedant
"Simama hapo hapo unipatie koti...."
Vedant kusikia hivi alianza kukimbia kabisa, hasira ya Emilia mbaya aliokota kipande cha jiwe akakirusha. Bahati mbaya kiligonga kwenye mzinga wa nyuki.
Emilia alipiga tambo tano akamfikia Vedant, kwa pamoja walikimbia kisha wakajirusha kwenye bwawa la maji lililokuwa maeneo haya.
Emilia hakuwa akijua kuogelea vizuri, alijishikiza kwenye mwili wa Vedant kupata mwendelezo wote hadi mwisho bonyeza link hii hapo juu ukasome yote hadi mwisho kwa buku tu…
Itaendelea 💥
MEETING MY MATCH
(Ubavu wangu😋)
EP 05
MTUNZI;HUSQER BALTAZAR
Vedant ndio kupambana wakatoka kwenye maji.
"Kama ungenisikiliza wala tusingelowana...." Emilia aliongea huku akikohoa
Vedant hakumsikiliza hata, alitoa simu yake mfukoni akampigia Secretary Aaron lakini hakuwa akipatikana bado.
"Mbona simu yako haijalowa...." Emilia aliongea kwa mshangao
Vedant alimtazama kwa kumkadiria, pamoja na nguvu zake zote hizo hakutarajia kama atakuwa hajui chochote kuhusu waterproof.
"Mbwa huyu au wale Wachina wamempa nafasi..." Vedant alizidi kulalamika kwa sababu Secretary Aaron hakuwa akipatikana.
Alitaka ampigie Manuu (Shangazi yake) amletee nguo lakini baada ya kukumbuka hasira alizomtia alikausha.
"Huyu mtu yaani hata saa yake tu haijalowana....." Emilia aliendelea kushangaa, sijui ni kitu gani aliwaza kwani alianza kupambana kufungua zipu ya suruali ya Vedant.
Ilikuwa ni vuta ni kuvute lakini mwisho wa siku alifanikiwa kupenyeza mkono akaishika mashine.
"Ms*nge wewe ni kitu gani hiki unafanya!...." Vedant aliongea akiwa haamini kama kashikwa uume
"Nilitaka kuangalia kama haijalowana, bahati nzuri imelowa" Emilia aliongea huku akicheka
Vedant alitaka kukasirika lakini mbavu zilimzidi maarifa, alijikuta akicheka pia.
"Siwezi kutembea nikiwa nimelowana, watu wataniona wa ajabu sana....nakupa pesa hakikisha unaniletea nguo...."
Emilia anatabasamu baada ya kuona wallet haijalowana pia.
"Una uhakika nikikupatia hii pesa utarudi?" Vedant aliuliza
"Kama huniamini kaa na pesa zako" Emiliana aliongea huku akijikagua kwenye mfuko wake wa suruali. Anaachia tabasamu baada ya kuziona pesa zake, ingawa zilikuwa zimelowa lakini hakuchanika
Vedant anaamua kumuamini anampatia pesa.
Emiliana si mtu wa kujua kupangilia nguo, lakini siku ya leo alijitahidi kuchagua.
Vedant akiwa katika hali ya kukata tamaa alishangaa kumuona Emiliana.
"Ahsante kwa kuwa muaminifu..."
"Mimi siyo tapeli....vaa haraka hakuna mtu anapita mahali hapa" Emilia aliongea huku akigeuka huku na kule. Anashangaa baada ya kuona Vedant hajishughulishi
"Nitawezaje kuvaa nguo na wewe uko hapa?"
"Kichaa kweli! unanionea aibu Mimi mpita njia, hebu vaa huko unigeie koti langu" Emiliana aliongea,
Vedant bado hakuchangamka, alishtukia akivulishwa kibabe.
Pamoja na mashine yake kuwa hadharani lakini Emiliana hakushtuka, inaonekana anaogopa six parts kuliko hata uchi wa mwanadamu.
"Binadamu ni kiumbe anayehitaji shuruti, sasa mbona umevaa!" Emiliana aliongea huku akichukua koti la Mama yake
"Kwanini hukununua nguo, kwani unafurahia kukaa hivyo!"
"Sipendelei vitu vya bure, uwe na siku njema" Emiliana aliongea kisha akaondoka
Vedant alimsindikiza kwa macho, alishindwa kuelezea huyu ni msichana wa aina gani.
Yeye pia aliondoka, alikuwa na shauku kubwa ya kumuona Secretary Aaron amuadabishe kwa kuzima simu pamoja na kumpa Emiliana pesa feki.
Kabla hajafanya hivi alipita hotelini kula kwanza. Muda ulikuwa umeenda kwa kiasi fulani...
Wakati anatoka hotelini aliachia tabasamu baada ya kumuona Secretary Aaron akiwa na Mfanyakazi wa Kichana anayefanya kazi kwenye Kampuni yake.
Alitaka ampandishie mashetani lakini alimvumilia. Hakutaka wamuone alijificha
"Kwaninj unajificha hapa..." Sauti ya Emilia ilimshtua.
"Umefikaje hapa" Vedant aliuliza
"Ni swali la ajabu kwa binadamu mwenye miguu miwili, acha kujificha hapa unaonekana kama Kibaka hivi" Emilia aliongea akataka kuondoka lakini kuna kitu alikumbuka alimsogelea
"Umbile lako ni kubwa kuliko mwili wako.... hongera kwa hilo" Emilia aliongea upuuzi akataka kuondoka lakini Vedant alimuwahi kumshika mkono
"Vipi unataka ni kuonjeshe..."
Emilia alipaliwa mate kwa swali hili, japo si mtu wa aibu lakini siku ya leo macho yake yalicheza.
"Hoteli hii ina vyumba vingi, nitafurahi kama tutapata muda hata wa dakika 20 ni kuonjeshe tu kidogo" Vedant aliongea, kuna namna alitamani kumpelekea moto Emilia mwenye manguvu yake
Emilia alijikuta akimeza mate hakujua aseme nini, Vedant baada ya kuona ushawishi wake una nguvu alimshika mkono wakarudi hotelini.
Emilia anakuja kushtuka akiwa ananyonywa ulimi wake huku mkono mmoja ukiwa kwenye chupi yake,kupata full mpaka mwisho bonyeza link hii hapa chini ukasome yote hadi mwisho…
Itaendelea 💥
SOMA MAELEKEZO
Bonyeza hi "Soma Kitabu" kisha itakupeleka kwenye fomu yaku login, hakikisha ume login na namba uliyojiunga nayo ndipo utaendelea sasa kusoma kitabu chote