GAIDI ALIEUTEKA MOYO WANGU..
kuna baadhi ya watu wanapitia changamoto ambazo zinakuja kuharibu kabisa maisha yao ya baadae, mwanaume mmoja baada ya kushuhudia usaliti wa mama yake kwa baba yake anajikuta anachukia sana wanawake, na hata alipokuwa mkubwa anaamuwa kuwa busy na utafutaji na kuachana kabisa na maswala ya kukaa karibu na wanawake..
Anafungua hospital na hakuwa anahutaji daktar wa kike, ila anakosekana docta wa upasuaji wa kiume na kuamua kuajiri docta wa kike, akawa hampendi kabisa na ni kama amemuajiri kwa sababu hakuwa na namna ila mwisho wa siku anajikuta anampenda huyo docta wa kike ila anajitahidi kupambana na hisia zake maana hakutaka kuwa na mwanamke ila kama tunavyojua, penzi ni kikohozi kulificha haiwezekani nducho kilichomkuta kijana kauzu unajua nn kiliendelea usikose simulizi hii ya kusisimua ya MY MIKE TYSON (raha ya kuuteka moyo wa gaidi)
MY MIKE TYSON
( Raha ya kumiliki moyo wa gaidi๐ฅฐ )
Husqer Baltazar.
EP 01
Ilikuwa ni hukumu ya kifo kama Mwanaume angebainika kumuingilia mke wake au mtu yoyote kinyume na maumbile ๐๏ธ
Hii sheria ilijulikana hata kwa mtoto aliyeko tumboni, kwa asilimia 99 jamii yetu ilikaa katika mstari mnyoofu like rula hivi ๐
Life stlye la familia yangu lilikuwa bomba sana, ingawa kipato chetu kilikuwa cha chini but tuliishi kwa upendo kiasi kwamba majirani zetu walituonea wivu ๐
Sijui ni demon gani ilimvaa Mama, kwani nilivyo fikisha miaka 16 alianza kulalamika kwa kila kitu alichofanya my Dad ๐ญ
Amani iliyodumu kwa muda mrefu ndani ya familia yetu ilipotea
"Mwanamke hafurahishwi tu kitandani!....kila nachokuomba imekuwa mtihani ni heri tuachane!" Huu ndio ulikuwa wimbo wa Mama kila siku
Mwanzo alizungumza hivi akiwa amehakikisha nimelala but siku zilivyozidi kwenda hakujali uwepo wangu, alikuwa anamdhalilisha Baba yangu infront of me ๐
Jioni moja Baba yangu aliniletea zawadi ya viatu vipya.....vilikuwa ni vya gharama sana ๐ค. Hakuishia hapo alimnunulia Mama yangu pochi kali.
Ilikuwa ni furaha ndani ya familia yetu because of Dad. Nilikuwa wa kwanza kufika shuleni ๐ si mnajua tena nilitamani kila mtu avione viatu nilivyo nunuliwa na Baba.
"Tangu Mama yako aanze kutembea na yule tajiri maisha yenu yamebadilika....I can see hata viatu ulivyovaa ni jasho la yule jamaa ๐ฅด, mtaa mzima tunajua Baba yako hana uwezo wa kununua vitu hivi" Classmate wangu ambaye pia ni jirani yetu aliongea
Maneno yake yalikuwa magumu sana kwangu nilijikuta ni kimrushia ngumi iliyompelekea adondoke chini ๐ฅต
"Huna haja ya kumpiga....kila mtu ana fahamu kuwa Mama yako anatembea na yule tajiri na verysoon ataolewa pale, seriously namhurumia Baba yako ๐" Kijana mpole kuliko wote darasani aliongea
Nilijikuta ni kikosa nguvu ya kukaa shuleni. Nilirudi nyumbani kwa kukimbia.... nilihitaji kumuuliza Mama yangu kuhusu hizi dirty scandal nilizoambiwa na classmates wangu ๐ญ
Niliingia ndani bila hodi, nilishtuka sana nilivyomkuta Mama yangu akifanya mapenzi sebuleni kwetu na Mwanaume nisiyemjua ๐ต
Mwanzo nilihisi Mama yangu anabakwa lakini baada ya kunitaka nitoke ndani avae niligundua si ubakaji tena bali ni makubaliano ๐ฅถ
Hasira zilinipanda ghafla....nilichukua mkuki uliokuwa nyuma ya mlango ni mshambulie Mwanaume aliyejimilikisha vitu vya Baba ๐ญ
Itaendelea ๐ฅ
_**MY MIKE TYSON*_*
( Raha ya kumiliki moyo wa gaidi๐ฅฐ )
Husqer Baltazar.
EP 02
Cha ajabu my Mama aligeuka kuwa ngao, I don't know kama naeleweka but alikuwa tayari kufa yeye na si huyu Mwanaume ๐ญ
Ni kama alikuwa ananiambia Mike kill me ila siyo yeye ๐ญ
Nilitupa mkuki kisha ni kaondoka kwa hasira sikuwa na direction wapi niende but suddenly wazo la kwenda kazini kwa Baba liliniijia ๐
Yes! nilitaka kumuambia ujinga wa Mama.... Baba yangu Mimi ni carpenter, kazi yake hii ndogo ndio imenifanya ni vae viatu vikali
"Mike huu ni muda wa shule don't tell me umefukuzwa kisa hicho kipara ๐" Baba yangu aliongea huku akiachia tabasamu, hajawahi kuwa serious kwangu
Nguvu za kuzungumza ujinga wa Mama ulikata....sikuwa tayari kumuumiza moyo wake ๐
"Nipo hapa kukusaidia.... mwalimu wa kiswahili hayupo hivyo nitatumia muda wake kukusogezea hizo mbao ๐" Niliongea
Baba yangu alitaka kugoma lakini kwa namna nilivyokuwa stubborn aliniacha.
Ilikuwa ni raha sana kwangu kufanya kazi pamoja na my Dad โค๏ธ
Baada ya kufunga kazi tulirudi nyumbani.... Mama yangu alikuwa amepika chakula kizuri sana.
Gharama yake ilikuwa ni kubwa, ni wazi kabisa Baba yangu alitamani kuuliza but alipotezea
Japo nilikuwa na njaa lakini sikuwa tayari kula chakula cha Mama....ndani ya moyo wangu kulikuwa na hasira kali ๐ก
Niliingia chumbani kwangu ni kajifungia....nilisikia tu Mama akimtupia lawama Baba yangu kuwa nimekuwa jeuri sababu yake.
Ugomvi mkubwa uliibuka kati yao hata chakula hakikulika
"Naijua sababu iliyokufanya ubadilike hivi....fanya chochote unachoona ni sahihi but Mimi hapa sitakuuliza, ahsante kwa chakula" Nilimsikia Baba yangu akiongea
"Ndiyo, nimetembea na yule tajiri hapa sebuleni kwako Mike ni shahidi na nitaendelea kutembea naye kwa sababu ananitimizia mahitaji yangu " Nilimsikia Mama yangu akiongea
Sikuweza kulala, nilifika sebuleni kuamua ugomvi wao.....niliogopa sana baada ya kumfuma Baba akiwa kashika mkuki
Akili yangu ilinituma anataka kumuua Mama cha ajabu aliuchoma kwenye kochi
"Najua Mimi si hadhi yako lakini nakupenda..... nitajitahidi kukutimizia mahitaji yako hata kama itamaanisha kuniua ๐ญ" Baba alizungumza kisha akaenda chumbani
Mama yangu alinisogelea kisha akanishika bega
"Jifanye kipofu pale unapoona vitu vibaya.....pia kuwa kiziwi pale unaposikia migogoro ya watu wazima, fanya hivyo utaishi miaka mingi" Mama yangu aliongea kisha akarudi mezani kula
Sijui nililala saa ngapi lakini nilishtuliwa na kelele za king'ora cha gari la Polisi.
Kichwa changu kilikuwa kizito kama nimebeba dunia nzima ๐ฅต
Guys ๐ญ.....sijui wanawake ni viumbe gani lakini Mama yangu alitamka zaidi ya mara sita mbele ya Polisi kuwa Baba yangu Mimi amemlawiti mbele yangu ๐ต
"Mike, waambie Polisi kitu alichonitendea Baba yako usiku mzima ๐ญ" Mama aliongea huku akitokwa machozi
Majirani walijaa uwanjani kwetu kusikia what's happening
Itaendelea ๐ฅ
_**MY MIKE TYSON*_*
( Raha ya kumiliki moyo wa gaidi๐ฅฐ )
Husqer Baltazar.
EP 03
Mimi, Baba pamoja na Mama tuliwekwa kwenye gari la Polisi.
Ni kama nilikuwa nimepatwa na mshtuko hivi kwani sikuweza kuongea chochote ๐ท
Mama yangu alizidi kulalamika maumivu mpaka tulipofika kituo cha Polisi.
Kila kitu kilienda haraka na hata ni kajiuliza nani yupo nyuma ya Mama ๐ฅบ
Vipimo vya Daktari vilidhibitisha kuwa Mama kaingiliwa ๐ญ
Hakukuwa na haja ya kumkalisha Baba mahabusu.....kauli ya Hakimu ilikuwa ni kunyongwa mara moja kabla jua halijazama
"Mike.....hata kama utafanya nini kamwe huwezi kumridhisha Mwanamke. Nimefanya vitu vingi sana kwa ajili ya Mama yako siwezi kuvizungumza mbele yako kwa sababu ni aibu....ni muda wa Mimi kupumzika am sorry kwa kukuacha ๐ญ" Baba yangu aliniambia
Kila nilipotaka kupaza sauti it's not him sauti hauikutoka. Ni kama kuna kitu kiliziba mdomo wangu ๐
Nililia kilio kisichoelezeka..... infront of me my Dad โค๏ธ alinyongwa, watu wasiojua nini kinaendelea waliirushia mawe maiti yake.
Sikumbuki nini kilitokea lakini nilikuja kushtuka nikiwa chumbani nimelala
"Baba yako alikuwa ni mshenzi sana....acha afe tu, acha afe.... kuanzia sasa nitakupa kila kitu" Mama yangu aliongea
Nilijikuta ni kimkaba koo lake, nilitaka afe pia kama alivyokufa Baba ๐ก
Mama alipambana mpaka akafanikiwa kujiokoa mikononi mwangu ๐ฅต
"Nilitaka ni kuchukue ukaishi kwenye ghorofa lakini kwa kitendo cha kutaka kuniua kisa yule mshenzi ni unforgivable ๐๏ธ.... mtoto wa nyoka ni nyoka ๐ก....jipambanie mwenyewe, maiti ya Baba yako iko sebuleni utazika mwenyewe na majirani" Mama alinifokea akataka kuondoka
Nilimshika mkono wake kwa nguvu zote ๐ก
Itaendelea ๐ฅ
_**MY MIKE TYSON*_*
( Raha ya kumiliki moyo wa gaidi๐ฅฐ )
Husqer Baltazar.
EP 04
"Nitamzika my Dad โค๏ธ bila msaada wako....kama Baba yangu hakuweza kuridhisha moyo wako hakuna Mwanaume kwenye ulimwengu huu ataweza kukufurahisha.....Mzimu wa my dad utakuwinda maisha yako yote....nakuchukia kwa kumdhalilisha Baba yangu....." Niliongea nikiwa na hasira kupita kiasi ๐ก, sikuelewa kama makucha yangu yalikuwa yanatoboa mkono wa Mama kiasi kwamba damu zilichurizika
"Darling kama unataka tuishi kwa amani muue huyu Mtoto kama ukimuacha he will come for us ๐๏ธ" Yule Mwanaume niliyewahi kumfuma na Mama wakifanya mapenzi aliongea
"Si....si...wezi kumuua mwanangu ๐ต" Mama aliongea akionekana kuchanganyikiwa
"Kama uliweza kuua Baba yake kwa kuzungumza uongo huna haja ya kusita.... huyu ni mtoto wa Tyson na si wako๐ฅด" Mwanaume huyu aliongea
Nilikuwa nimechoka kuishi, nilijikokota ni kaelekea sebuleni ilikokuwa maiti ya Baba yangu. Sikutaka kusika namna wanavyopanga mikakati yao juu yangu ๐
My Dad alikuwa ametulia as if ataamka baadae, nilijilaza taratibu kwenye kifua chake
Maneno yake ya mwisho yalijirudia kichwani kwangu ๐ญ
I don't know Mama na bwana wake walitoka nje saa ngapi....nilisikia harufu ya vitu vikiiungua ๐ฅ
Sikutaka ku escape, kama Mama aliyenizaa anaona sistahili kuishi sikuona sababu ya ku struggle ๐ญ dying here ilikuwa the best option kwangu.
Nilifumba macho ni kasubiria kifo kinichukue.....sikumbuki hata nini kilitokea
Nilikuja kushtuka nikiwa hospitali....sijui ni nani alinileta hapa lakini kwa kuwa intention yangu ilikuwa ni kufa nilianza kutafuta kitu kikali like panga au kisu nijimalize ๐
Nikiwa katika kutafuta silaha mlango ulifunguliwa, nilishtuka baada ya kumuona Mwanaume aliyekuwa anapenda kuja kazini kwa Baba
Alinisogelea akanishika mikono....kwa haraka tu alikuwa amechanganyikiwa hivi though aliforce kuwa sawa ๐ฅต
"Mike..... Mama yako ni shetani, kama si Mimi kujitokeza haraka basi ungefia kwenye moto. Tyson kafariki kwa sababu ya upendo aliokuwa nao kwa Mama yako ๐ญ..... naomba uishi, kamwe usije kufikiria kujiua kwa sababu Mimi hapa nitakuwa bega kwa bega na wewe...." Simeon aliongea
"Uncle natamani kufa....siamini kama Mama anaweza kutufanyia hivi" Niliongea ๐ญ
"Mwanamke? sijawahi na sitawahi kuweka imani yangu kwa mwanamke.... viumbe hawa ni makatili, nitakufundisha kutafuta pesa bila kujali ni njia halali au haramu....all I want ni Mama yako kujutia kwanini alikuacha ufe kwenye moto mkali kisa mapenzi ๐ฅถ kwa ajili ya Tyson nitafanya chochote" Uncle Simeon aliongea huku akijipiga piga kifua chake ๐ก
Nilijikuta nikilia kwa namna rafiki wa Baba alivyokuwa anateseka sababu ya matendo ya Mama.
Nilimshika mkono kwa sababu niliona anaumiza kifua chake
"Ndiyo, Wanawake wote ni mashetani..... sitakuwa na huruma na hawa viumbe maisha yangu yote ๐" Niliongea
Itaendelea ๐ฅ
_**MY MIKE TYSON*_*
( Raha ya kumiliki moyo wa gaidi๐ฅฐ )
Husqer Baltazar.
EP 05
Baada Ya Miaka Miwili Kupita;
Sikuwa ni kikumbuka kuhusu shule tena.... shughuli nilizokuwa nafanya nilikuwa nazielewa mwenyewe na Uncle Simeon ๐
All I want ilikuwa ni kujikusanyia pesa na si kingine. Siku moja nikiwa na Uncle Simeon kwenye mission ngumu ya usafirishaji dawa za kulevya tulikumbana na Polisi ๐ฅถ
Tulikuwa na machaguo mawili tu kukamatwa au kuwaua Polisi. Japo silaha zetu hazikuwa nzito sana ukilinganisha na zao lakini tulipambana kiume ๐ซ
"Tyson (Baba) atatuona wajinga kufa wote hapa.... hebu fanya kuondoka bila Mimi, ni heri Mimi nife lakini si wewe. Believe me kama utafanikiwa kufikisha huu mzigo mahali unakotakiwa utalipwa pesa nyingi sana. Hutaishi kuwaza pesa kama ilivyokuwa kwa Baba yako.... pindi utakapo tajirika achana na hizi mission, naomba uwe mtu mwema, kufukuzana na Polisi ๐ฎ siyo kitu cha kufurahisha" Uncle Simeon aliongea kisha akanisukuma ni kadondokea upande wa pili
Alianza kukabiliana na Polisi bila Mimi ๐ญ....nilitaka kurudi upande wake lakini baada ya kukumbuka namna Baba yangu alivyo kufa niliendelea na safari yangu
Ndani ya moyo wangu nilikuwa na maumivu ๐ makubwa ya kutengana na Uncle Simeon lakini nilipiga hatua mbele bila kujali ataishi au kufa. Mzigo niliokuwa nao ulikuwa na thamani kubwa kuliko Wanawake wote duniani ๐
Niliachia tabasamu baada ya kuiona Meli.... nilitoa ishara ya vidole โ๏ธ kama nilivyo fundishwa na Uncle Simeon, Mwanamke aliyevalia nguo nyeusi alinirudishia ishara hii๐ค
Nilirusha begi lenye mzigo kisha na wao walinirushia begi lenye pesa....
Sikuwa na shaka ya kulikagua begi, kutokana na maelezo ya Uncle Simeon watu hawa ni waaminifu kuliko viumbe wote duniani ๐
Wanaliheshimu jasho la Mtu....I wish Mama yangu angekuwa kama hawa watu ๐.....
Tabasamu lilizidi kuongezeka usoni mwangu baada ya kumuona Uncle Simeon ๐....bega lake lilimeza risasi lakini furaha ya thamani ya kitu kilichokuwa ndani ya begi ilitufanya tulale ufukweni mwa bahari ๐
"Pesa zote hizo ni za kwako.....kila kitu kilikuwa ni kwa ajili yako, hakikisha dunia hii inakaa kiganjani kwako kuanzia sasa ๐คจ Mwanamke ni kiumbe asiyeridhika, kamwe usije kujituma kwa ajili yake ๐" Uncle Simeon alinikumbusha
Itaendelea ๐ฅ
SOMA MAELEKEZO
Bonyeza hi "Soma Kitabu" kisha itakupeleka kwenye fomu yaku login, hakikisha ume login na namba uliyojiunga nayo ndipo utaendelea sasa kusoma kitabu chote