PILOT JEON INAUMA😋
MTUNZI; BABY SMILE
EP 1.
Nilikuwa kwenye ndege kwa mala ya kwanza toka nizaliwe, natoka dar kwenda kwetu bukoba, ninawahi msibani nimefiwa boss wangu akaona aniwaishe na ndege, kwa sababu mwanae ni pilot haikuwa na mambo mengi, tuliwa tunakalibia kifika ndege yetu ilitekwa, kulikuwa na majambazi walikuwa na vifaa vya kuchukua video, walitulazimisha abilia kutiana, huku wanatulecird lengo wauze kwenye mitandao, mtoto wa boss alitolewa akawekwa msaidizi wake wakataka mtoto wa boss ndie aanze akiwa na mavazi yake hivyo hivyo walidai yeye ndie anamvuto zaidi...
Sijui siraa zao walizipitiaha viti ila inaonekana mhusika aliewapa mchongo na kila kitu ni wa ndani ya kampuni kabisa, watu wengine pia waliamlishwa kufanya hivyo hivyo, mtoto wa boss cha kwanza alinitizama mimi, akaja kwangu,nilianza kutetemeka mno, na wengine kila mtu alichagua atakavyo huku wengine wakipewa wanawake zaidi ya mmoja, wa wengine baadhi ya magaidi yalijichukulia, walitaka kunichukua mimi ila kiongozi wao akazuia kuwa hao wanamatch turecord kwanza ndo wanichukue...
Nilijuta nikawa nasikia maumivu mala mbili mbili, hii kauzu ya boss inawaza kweliðŸ˜, badala ya kunisaidia inataka kunikula kweli jamani ðŸ˜,huku nina msiba ata huruma hawana nikaanza kulia kuomba wanihurumie nikawekewa sindano kichwani, ilikuwa sindano ya sumu, lakini ni zile sindano za ng'ombe...
Mtoto wa boss akaniomba nikubali nikamuage mama angu kwa mala ya mwisho kwanza,niliwaza jamani mbona aibu wale jamaa hawakuwa na mda wa kupoteza kuna mtu alitaka kuleta vulugu pale pale, wakamchoma sindano hata dk 10 hakumaliza akakata roho,kila mtu akajua kweli hili jambo liko serious, tulianza kuvua nguo, mtoto wa boss alinisaidia majambazi yakawa yanashangilia ninavyo jaliwa, nilikuwa naona aibu mno, Jeon alikuwa jasili alijitahidi kuwa sawa...
Alianza kuniandaa kwa hisia kama vile mimi na yeye ni wapenzi wa muda mlefu,alizuiwa kuvua shart lake, alivua chini tu, aliniandaa muda mlefu mpaka wakamlazimisha azamishe kitu,nilizamishiwa uku nalua utamu na uchungu wa kulazimishwa hadhalani, tena na mtoto wa boss siku ya msiba wa mama anguðŸ˜..
Jeon aliniuliza unaumia manaa? Kama unaumia niambie nipunguze speed ashhh, alikuwa anaugulia utamu huku ananihurumia,pilot aliambuiwa ageuze ndege ielekee msituni, muda huo wameshamaliza wanataka kunichukua mimi tena wanitumie Jeon, akaanza kuzuia wakataka kumchoma sindano, ghafla ndege ikaanza kuyumba zile hofu wakasahau ugomvi, nilivalishwa na Jeon uku nalia kwa uchungu mnoðŸ˜...
Ndege ilizigua ikaja kudondoka ziwani, tena mwanza ilhali tulikuwa tushafika bukoba kumbe kitendo cha kuigeuza ndege kiliwashtua Airport wa bukoba sio kawaida na mawasiliano hayaeleweki, wakaamua kufatilia wakagundua kuna shida, tulivyozama ziwani,tayali kulitokea msaada, walishahisi wakasambaa sehemu wanazikisia huenda tukatwama majini au kwenye miti...
Ni Mungu tu, tuliokolewa, japo kuna waliokufa kwa hofu, na kuwa wengine waliuliwa na magaidi, waokoaji walivyofika walitaka tyua ili kupoteza ushaidi, walikamatwa wote na Jeon aliwahi zile camera akazidumbukiza kabisa kwenye maji baada ya kufuta kila kitu, alihofia maafande wasije kucopy wakawa ndo wasambazaji bola yeye mwenyewe afute kwanza, kimbembe polisi wakadai kwa nini atupe ushaidi, kesi ikataka kumwangukua Jeon, bahati nzuli wale jamaa wakadakwa na zile sindano ushahidi wa sindank ukatuliza kesi, tukawa huru, nilikuwa naona aibu hata kumtizama Jeon, aliniombea niwahishwe kwenye mazishi, waliongea na maasikari kisha mimi na Jeon tukapanda tena ndege nyingine, nilikataa kupanda lakini Jeon alinishawishi nikaona kweli niwahi...
Nilipanda tulifika nikakuta mazishi ya mama angu yameanza
Ningechelewa tu kidogo, ningekuta washazika, nilimfunua mama angu kumuaga kwa mala ya mwisho, nyie kupoteza mama inauma jamani inauma mnoo, nilimuaga kwa mala ya mwisho, ila wakati wakumwaga mchanga nilizidiwa na maumivu nikazimia...
Niliingizwa tu ndani wakidai nitakuwa sawa nimwagiwe tu maji, Jeon aligoma akanikimbiza hosptal, kisha akatoka nje kuwasiliana na rafiki yake, kwani kampigia sana simu, "haloo Dock, watulize hapo nyumbani kwa leo siko sawa wambue tuko sawa nitaongea nao kesho, " ooh Jeon unaonekana kuna furaha na huzuni ebu niambie ata kiasi mwanangu huwa huniiti Dick mpaka uwe kwenye wakati mgumu sasa ili nikawapange nyumbani nishilikishe kwanza, " kweli bro, unahisi nitakuwa na furaha vipi crush wangu yuko kwenye matatizo, na kuna jambo zaidi nahisi kama kagundua nina mpenda naogoa sana, ni kweli nampenda sana, nilikukatalia tu siku ile ulivyonifumania namchungulia ila nampenda lakini naogopa...
Kupata full bonyeza link hii hapa juu au chini ukasome yote hadi mwisho kwa buku tu...
Itaendelea....💥
PILOT JEON INAUMA😋
MTUNZI; BABY SMILE
EP 2.
Sasa Jeon mbona unaniaibisha kinachokuogopesha nini? Ebu mfariji faliji iki kipindi akikaa sawa mwambie usimfiche, lakini balaa ni kwa mama ako, atskubali umuone mfanya jazi wake?...
" Dock mimi simolei mama angu ujue najiolea mimi, mambo ya mama kumpenda ama kutokumpenda mke wangu sio ishu, ishu ni Bonti tu anipende na mimi basi icho tu ndo nahitaji, " sawa lakini ujue kabisa unaingia kwenye vita na mama ako, japo unajua kuchagua kwakweli, nikarembo sana, na najua huwezi kukaacha ushazama ndo tatizo la kutulia, ukidata unadata jumla😃, " Dick huu sio muda wa utani, Naomi wangu, yuko kitandani kazimia wakati anamuaga mama ake, nina hofu, " pole bro, kashakuwa wako ata hajakukubalia😃, ila pole bro usiwe na hofu ataamka na atakuwa wako...
Jeon aliona mwenzie analeta utani mwingi, akaamua kukata tu simu, akakaa kajiinamia, na mawazo mengi, ila kubwa akakumbuka tu nilivyokuwa naililia mida flani japo kwa uchungu ila kwake ilikuwa utamu, alikuwa anawaza mpaka ana sisimka,nilikuja kupata fahamu namkuta pembeni yangu,niliamka uku siwezi kumtizama kabisa machoni...
Alinijulia hali akiwa na ule ule ukauzi wake jamani, uyu mtoto wa boss ni handsome ila ni kauzu, yani sio mtu wa kumzoea muda wote kanuna, ata kama unatatizo unaogopa kumwambia unasubili wengine, anawadogo zake wa kike, ni watu poa sana sio kama yeye, yani yeye alikuwa akiludi nyumbani kila mtu anakimbia chumbani kwa kumuogopa, sijawahi kumuona anacheka toka nianze kufanya kazi kwa mama ake, yani akijitahidi sana basi atatabasamu tu na nimala chache sana...
Ila kuna kitu nikakumbuka nikajikuta nacheka, mpaka akashangaa, "kulikoni nachekesha? Au kuna kiti nimejipaka, nikajikuta ndo nazidi kucheka tu nikikumbuka tu vile akiwa kanikunja alivyokuwa analalamika, anaunguruma, mwamba anasauti ya simba aisee inashawishi nisingekuwa kwenye huzuni nahisi ningeinjoy sana sema nani yake inaumiza mimi nimezoea vidogo, hii ilikuwa inanichoma jamani🫣...
Nikajikaza nakusema tu nisamee kuna kitu tu nimekumbuka, akanitizama huku anauliza nini? Nikaguna tu, mwamba anaakili jamani akajua, akaniuliza vipi unakumbuka shoo yangu? Ni mbaya sana ee?, nilishtuka alaka alaka nikajibu amna ata,naomba maji ya kunywa, ilibidi nitafute namna yakutoka kwenye mada halaka sana, alitabasamu kwanza akasema unataka maji kweli au unataka tusiendelee na tunachoongea?...
Nilikohoa mfululizo, akaleta maji, ndugu zangu walikuja, mimi upande wa mama niko peke yangu, mama angu ni mhaya ila baba mchanga, baba na mama waliachana kisa makabila, mama hakuolewa tena, alikuwa mgonjwa mgonjwa, akaamua kuishi mwenyewe na mimi tu, japo mimi pia nilivyoanza kusoma baba slinichukua kwa nguvu, ikasababisha ndugu wa mama kunichukia...
Hata mama alipozidiwa wainificha, na mama aliniambia yuko sawa tu mpaka anakufa nimasaa mawili tu nimeongea nae, napewa taarifa tayali hayupoðŸ˜...
Wamemzika halaka halaka, ningechelewa tu wasingejali,walinijulia hali, lakini hata kuja na chakula hamna, Nyie mmmh 🙌,
Jeon alitoka, nawao wakaniaga wakatoka, mimi simu yangu ilidondokea majini wakati tunaokolewa sikuwa hata na simu, Jeon aliludi na chakula, akaninawisha, na kuniomba nile, na yeye akanawa tukala chakula cha kununua afu ety niko kwao mama mmh, huenda bibi angekuwepo ningepewa kipaumbele ila saivi aisee, nitakuwa nakuja tu kusafisha kaburi la mama angu...
Jeon aliona niko bize kuwaza, akasema ni muda wa kula, afu ukimaliza sasa utaendelea kuwaza, niliona nile tu, japo ata radha sisikii kabisa,nilimaliza kwa kulazimishwa, tuliluhusiwa tukaludi nyumbani pakulala hakuna, wala wakutujali, nikainuka nikaludishe line ilikuwa na balance nichukue gest tu, Jeon akanifata akasema kaandaa akulala niliona aibu adi machozi yakanitoka...
Kupata mwendelezo bonyeza link hii hapa juu au chini ukasome yote hadi mwisho...
Itaendelea....💥
PILOT JEON INAUMA😋
MTUNZI; BABY SMILE
EP 3.
"Lakini Naomi, nimechukua chumba kimoja tu, hapa jilani vyumba vimejaa unaweza kuniamini tukashea? Duh chumba kimoja tena🤔, usijali mimi nitaenda kulala jilani apo wewe kalale gest, " Naomi usinikasilishe tafadhali, mimi sitokufanya chochote, najua unapitia nini, naomba uniamini kuna vitu pia nshitaji nikushilikushe, niliamua tu kukubali make mtu adi kakunja uso mmh..
Nilikuta kaninunulia adi nguo za ndani,nioge tuje tuongee, make nguo sikuja nazo nyingi, nilizokuja nazo sijafua, naingia kuoga najikuta nina nguo ya ndani tofauti, mmh nilishtuka, nilitoka kuoga nina waza, akasema, "najua unachowaza ni mimi ndio nilikubadilishia, nikaenda kufua imeshakauka ibo kwenye begi langu umo, nyie ivi uyu mtoto wa boss anaelewa kweli anachokiongea jamani...
Niliona aibu mmmh, nilijibu tu asante lakini ungeacha tu, hakujibu akaniambia tu kesho naomba tujenge kaburi la mama ako mpaka likamilike tuliwekwe na vigae, ndio tuondoke, aisee alijua kunifurahisha nilifulahi mno, alinipa simu mpya kaninunulia, nilifurahi mno, nilimshukulu mpaka nikamkumbatia kumbe nampa wakati mgumu mtoto wa watu, nimekuja kushtuka nasikia anatoa mhemo hatalishi mmh, nikajua apa sio salama kimenuka, nikajitoa nakuwahi kabisa kitandani, Jeon hakusema kitu, alikuwa kwenye hali mbaya mno...
Alitoka nje ata sijui aliludi saa ngap, nimeamka asubuhi nakuta tu mtu kalala katikati kaweka mito,nilitamani ata kucheka , ila wanaume sasa mtu ata sio mtu wako unahangaika jamani 🙌, niliingia zangu kuoga, nikavaa kabisa, afu nikasogea nimthaminishe mtoto waboss...
Upande wa baba angu, nilimpa taarifa ya msiba akasema atashuliki ila hakujua nilini, alikuwa safali kaludi ananitafuta hanipati hewani, akaamua kusafili kuja moja kwa moja bukoba, kafika mimi niko gest, anaambiwa washazika toka juzi,akaniulizia anaambiwa umemulea mtoto kimalaya kama wewe mwenyewe, litoto linakuja msibani na mwanaume sasa hivi anaishi gest na mwanaume kwenye msiba wa mama ake...
Mzee alishangaa,hakuamini na kwake nilitoka kitambo kwa visanga vya mama wa kambo alinisingizia kesi mzee akanitimua ndo nikaamua kutafuta tu maisha dar, nina maisha majungu kuliko uchungu wa kidonda, mzee alichukia sana akaomba kuoneshwa hio gest, akaelekezwa, ata kukalibishwa hakukalibishwa ndani alipokelewa tu na kesi...
Aliondoka kuja alopoelekezwa, upande wangu nikawa namtazama mtoto wa boss usoni uku najiwazia mengi, kumbe ananichora tu, nashtukia tu kainuka anauliza "vipi kunitizama kwa kuibia, kuwa huru nitizame sio mpaka nilale, mmmh amna nilikuwa tu nakuweka vizuli, kwa mala ya kwanza akacheka aisee nilibaki kwanza nimeganda kumshangaaa leo huku kauzu anacheka ama ni mwingine🙄...
Kupata mwendelezo wote mpaka mwisho bonyeza tu hii link hapo juu ukasome yote hadi mwisho...
Itaendelea...💥
PILOT JEON INAUMA😋
MTUNZI; BABY SMILE
EP 4.
Anakuja kushtuka anaona niko na mshangaa, " akakaa nimshangae vizuli tena ananisogelea wee nikaludi nyuma nyuma fasta,akasema " sasa mbona nyuma tena akati nimesogea unitizame vizuli, kabla ata sijajibu mlango ukagongwa, Jeon akaenda kufungua anakutana na mhudumu akampa taarifa ya mzee, nikajua tu kimeumana , na uyu mchaga alivyo keruuu, nimeisha leo nikamuomba ,Jeon asikubali kama tuko room moja mimi natoka nilimpanga akaelewa, nikatoka na mhudumu,make aligoma kumuonesha baba room, na simu alitupigia hatukupokea wote tulikuwa bize kutizamana, ata kusikia tu hatukusikia...
Nilitoka na Jeon akahamisha vitu vyake room nyingine kwa mda, nilifika tu nafikia kofi, hujaacha tu kumbe mama ako hakukuonea, nilimtizama tu kama sanamu, ndio nikaanza kujieleza kuanzia kutekwa kwa ndege japo sikumwambia kama tulifanyishwa chochote, na simu ilivyopotea, na kuwa niko ba mtoto wa boss, kila mtu anachumba chake, na nyumbani hakuna akulala...
Alielewa ata, hakuelewa akalazimisha kuja chumbani kafika akacheki mazingira hakuona dalili ya mtu mwingine adi bafuni, akakagua kimkoba changu, kakuta nguo zangu tu,ndo kuamini akaanza kujichekesha, ats sikumshobokea, nilimwambia tu niko hapa kujenga kabuli la mama angu, " sasa binti yangu hio pesa unayojenga kaburi siungefungulia biashara, au unikopeshe kwa riba,nilimtizama yani kwanza ata kufika tu malaloni kwa mama ajafika afu anaongea pumba tu, na muda huo Jeon alienda kuendelea na ujenzi na mafundi, tayali walikuwa wameshajenga cement, wanamwagilia tu ipate maji siku kadhaa tuweke vigae...
Nilitoka chumbani nikaomba mzee atoke nifunge nimpeleke malaloni, akahisi tu nimechukia, alitoka uku anajalibu kunielewesha, nilimtembeza adi malaloni, alisalimiana na Jeon akamshukulu kwa kuwa na mimi kwenye hiki kipindi kigumu, chakula kilikuja uko uko tukala, mzee akaaga nakuondoka siku iyo iyo na gari za jioni sikuachiwa hata sent moja...
Sikujali nilishazoea, siku hazigandi , ujenzi ulikamilika, lilijengwa kishua mno, nilifurahi sio poa ,ndugu hawakuamini wakaanza kuhisi huenda nimejipata, wakaanza kujipendekeza wee, siku ya wao kianza kujipendekeza tu ndo siku hio hio tukaondoka na Jeon, aliniomba tukakae sehemu kwa muda kwanza nitulize akili...
Angalau nimalize mwezi mmoja kama ilivyoluhusa yangu, nilikubali make atahivyo sikuwa sawa nilikuwa najikaza tu, kwa sababu ya mazingira na kuepuka kumtia gharama mtoto wa watu, aliomba tukae mwanza ananyumba yake kajenga, tuliishia mwanza,niliishi nae mpaka mwezi ukaisha ila yeye alikuwa anaenda kazini kwa wiki alikuwa anakuja mala moja...
Mwezi ulivyokata alinipitia, akanipa na feedback, ya wale majambazi waliotuteka ikagundulika ni moja ya wapinzanj wao kahusika ili kuhalibu soko la kampuni, lakini pia kuna wafanyakazi walioshiliki pamoja na yule pilot mwenzake, tayali wameshakamatwa na wamehukumiwa...
Nilifurahi nikawa natuliza tu kichwa changu, make mimi ni mpishi ninaetegemewa sana kwenye hotel ya mama ake Jeon, ni hotel ya nyota 5, nilisomea upishi, najua kupika mpaka vyakula vya nje, sihudumii nakuwa jikoni tu, japo naweza pia kuhudumia, ila uwezo wangu wa jikoni, ulifanya boss aniongeze mshahara, na anilinde kama mboni yake, ata kuishi alikataa nisiishi nje na kwako nikae nae kwakwe, alikuwa akihofia hotel zingine zinaweza kunichukua akinipa nafasi, akawa hataki ata nionekane na wateja ni jikoni tu...
Kupata mwendelezo bonyeza link hii hapa juh au chini ukasome yote hadi mwisho kwa buku tu...
Itaendelea ....💥
PILOT JEON INAUMA😋
MTUNZI; BABY SMILE
EP 5.
Jeon alikuwa hajawai kula chakula changu kabisa, alianza kukila uku mwanza, alijua kwa nini mama ake ananiganda ilihali nina miezi 6 tu kwake,wakati tunatoka alinikabidhi funguo, nikamuuliza tena funguo za nyumba yake kwa nini ananipa mimi🙄, " kaa nazo ikitokea unahitaji kutuliza akili njoo hapa, na kama nitahitaji kuja nitakuomba usinipinge kwa hili nakujua huchelewi kutoa sababu lukuki ama kutaka kujua zaidi, sitamani kuongea ongea nachoka, napenda unielewe tu kwa kifupi ivo ivo Naomi...
Nilikuna kichwa kuonyesha kabisa natii tu lakini sijaelewa, na hakujali, alibeba tu begi langu huku anaongoza njia, nilikuja nakimkona, ila naludi na lundo la nguo tena nzuli, pesa yangu nilikuwa nalipwa nyingi, lakini mama angu alikuwa na madeni mno, hasa ya kunisomesha , alikopa kopa sana ilinisome, aliweka afya yake nyuma akanipa mimi kipaumbele, nilikuwa natuma mshahara wote kwa wadeni nabaki ata na elf 50 tu...
Tulifika dar mapema tu mambo ya ndege, nilipokelewa vizuli mno, walinimiss na hotel kulikuwa tayali na shida, hasa upande wa vitafunwa walianza kupata malalamiko na kipato kikaanza kupungua, nililudi kuokoa jahazi, nilipumzika siku hio hio tu niliyofika kesho yake nikaingia kazini, Baba alinipigia simu, anaomba pesa nikamwambia saivi sina kabisa, akaanza maneno nikakata tu simu na kuendelea na kazi...
Leo kuna wahuduma waliamua kuacha kazi kisa tu,walihisi hotel imeanza kufilisika na kuna mshindani wetu alikuwa kaanza kupaa akawapa ofa ya mshahara mkubwa wakaacha, ilibidi tupike na kusambaza oda panapobidi za ndani ya hotel, nimeingia room moja ya VIP, nakutana na mkaka jamani kanyiika huyo hana kipengele kipengele labda kiwe ndani aisee ila kwa muonekana aaah Mungu alijipanga aisee wakati anamuumba...
Mimi huwa nashaangaa kizungu, ila kumbe na yeye alinielewa bwana afu anaonekana kabisa apa pesa ipo mno, nilimkalibisha, akafulahi mno huduma yangu nikapewa dola 100 kwa huduma yangu nzuli, wee hivi ndo vitu tunapenda kuhudumia kwa ajili ya hizi ofa aisee jikoni nitazipata wapi mimi, nilifurahi nakuona kumbe hana choyo aisee, mzuri na moyo wake safi kabisa, aliomba pia mchana nimhudumie, naanzaje kukataa kwa mfano, mchana pia nikaamhudumia na jioni, ndio nikaondoka ila no nikawa nimempa, nafika nje Jean kaniijia nikapanda, alikuja na gari, hii nikawaisa huwa naletwa na kuludishwa...
Japo huwa naletwa na mama ake , ila akipata emergence kuna binti yake ama Jeon, sasa tukiwa njian simu ikaita no ngeni,nikapokea ni yule jamaa wa VIP, alinisifia vibaya mno nikawa nacheka cheka tu, ila nikashtuka gari inakimbia niliogopa apo nimefunga mkanda ila hali sio shwali, nilikata simu kwanza bila kupenda wala kuaga, ni gari inapepelushwa nyie nyie, trafc walitupiga mkononlakini Jeon hakusimama, nikahisi huenda gari imehalibika Mungu wangu leo jamaniðŸ˜....
Kupata mwendelezo bonyeza link hii hapa juu au chini ukasome yote hadi mwisho kwa buku tu....
Itaendelea....💥
PILOT JEON INAUMA😋
SOMA MAELEKEZO
Bonyeza hi "Soma Kitabu" kisha itakupeleka kwenye fomu yaku login, hakikisha ume login na namba uliyojiunga nayo ndipo utaendelea sasa kusoma kitabu chote